NAHONYO
Sunday, June 18, 2023
FAIDA YA MKUNDE POLI(Leg Poly) Waliokuwa wanauliza juu ya MKUNDE fuatilia maelezo yafuatayo KAZI ZA MKUNDE POLI(MIZIZI YAKE) 1.huzibua mirija ya uzazi 2.husogeza kizazi karibu 3.herejesha mzunguko wa hedhi 4.hutibu GONO,KASONONO, 5.Huongeza shahawa kwa mwanaume 6.hutibu maumivu ya mgongo 7.hutibu maumivu ya kiuno 8.husaidia kuzaa 9.hutibu chango kwa akina mama 10.hutibu maumivu ya viungo na ganzi (chemsha miziz yake tumia kunywa siku 31) KAZI YA MAJANI YA MKUNDE _Huongeza nguvu za kiume Tumia kuchemsha kunywa nusu kikombe mara mbili kwa siku 14 usiache hata siku moja NOTE THAT:"kama unashida za uzazi tumia kuchemsha miziz ya MKUNDE POLI kiasi cha lita 10 ya miziz maji kiasi cha LITA 2 tumia kunywa kwa siku mara mbili kwa mda pia wa siku 45 ukimaliza lita mbili chemsha tena utapona shida ya uzazi yoyote ile +++++++ ONYO"""""""HII DAWA NI KALI HIVYO ASITUMIE MAMA MJAMZITO YEYOTE YULE"""""""" Vyanzo vya mirija ya uzazi kuziba *UTOAJI MIMBA *UTI sugu aina zote tatu *Kusumbuliwa na maradhi ya ZINAA PASIPO KUYATIBIA DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA . Maumivu makali ya mgongo .kuchoka sana . maumivu wakati wa kukojoa . maumivu makali wakati wa tendo la ndoa . maumivu ya kiuno .uchafu ukeni(kunuka) .kubeba mimba nje ya mfuko wa uzazi
Wednesday, February 12, 2020
TIBA YA KIFUA NA PUMU HATA KAMA NI SUGU.
chukua binzari shomari, mdalasini, a rkisusi, habbat Sauda, zaatar, khaulinjan na lisaan uswfuur, ziponde kisha ziloweke kwenye maji Lita moja na nusu ichemshe mpaka ibaki Lita moja
Matumizi
Mtoto mchanga kijiko cha chai Mara 3, mtoto wa mwaka 1-3 kijiko cha chakula Mara 3, mtoto miaka 8-12 kikombe cha kahawa Mara 3, waliojuu ya miaka 12 robo kikombe cha chain. Kwa mda wa siku 21.
DAWA YA MAFUA ISIYO NA MADHARA
Watu wengi husumbuliwa sana na mafua makali na wakati mwingine kupiga chafya mfululizo.
Ili kuondokana na tatizo la mafua unashauriwa kuandaa kinywaji kifuatacho kisicho na kemikali.
MAANDALIZI
Chukua :
1. Maji lita moja
2. Asali vijiko 3 vikubwa vya chakula
3. Tangawizi ya unga kijiko kimoja kikubwa cha chakula au tangawizi mbichi itwange upate mchanganyiko uliopondeka kijiko kimoja kilichojaa.
Chemsha mchangyanyiko wako wote huo kwa pamoja mpaka uchemke vizuri ambapo inategemea na moto wa jiko lako lakini mpaka utakapoona imechemka vizuri usiache ikakaukia jikoni inashauriwa dakika 15 hadi 20 inatosha.
Kisha iache ipoe na KUNYWA NUSU GLASI MARA TATU kwa siku yaani asubuhi , mchana na usiku.
Kwa wale walio na mafua sugu yanadondoka muda wote na kupiga chafya nyingi sana zisizo na idadi basi zitakata mara moja na siku ya pili zitaisha kabisa kumbuka kunywa dawa hii mwezi mzima au hadi miezi miwili utapona kabisa.
Kinywaji hiki ni dawa ya mafua safi kabisa unatumia siku moja tu unakua na nafuu kabisa ila dozi yake inataka utumie mwezi mmoja hadi mwezi mmoja na nusu mfululizo bila ya kuacha.
Hata ukiona umepoa endelea kutumia kwani Hii ni itakusaidia hata kwa maradhi mengine na kuepuka mafua kuja mara kwa mara
chukua binzari shomari, mdalasini, a rkisusi, habbat Sauda, zaatar, khaulinjan na lisaan uswfuur, ziponde kisha ziloweke kwenye maji Lita moja na nusu ichemshe mpaka ibaki Lita moja
Matumizi
Mtoto mchanga kijiko cha chai Mara 3, mtoto wa mwaka 1-3 kijiko cha chakula Mara 3, mtoto miaka 8-12 kikombe cha kahawa Mara 3, waliojuu ya miaka 12 robo kikombe cha chain. Kwa mda wa siku 21.
DAWA YA MAFUA ISIYO NA MADHARA
Watu wengi husumbuliwa sana na mafua makali na wakati mwingine kupiga chafya mfululizo.
Ili kuondokana na tatizo la mafua unashauriwa kuandaa kinywaji kifuatacho kisicho na kemikali.
MAANDALIZI
Chukua :
1. Maji lita moja
2. Asali vijiko 3 vikubwa vya chakula
3. Tangawizi ya unga kijiko kimoja kikubwa cha chakula au tangawizi mbichi itwange upate mchanganyiko uliopondeka kijiko kimoja kilichojaa.
Chemsha mchangyanyiko wako wote huo kwa pamoja mpaka uchemke vizuri ambapo inategemea na moto wa jiko lako lakini mpaka utakapoona imechemka vizuri usiache ikakaukia jikoni inashauriwa dakika 15 hadi 20 inatosha.
Kisha iache ipoe na KUNYWA NUSU GLASI MARA TATU kwa siku yaani asubuhi , mchana na usiku.
Kwa wale walio na mafua sugu yanadondoka muda wote na kupiga chafya nyingi sana zisizo na idadi basi zitakata mara moja na siku ya pili zitaisha kabisa kumbuka kunywa dawa hii mwezi mzima au hadi miezi miwili utapona kabisa.
Kinywaji hiki ni dawa ya mafua safi kabisa unatumia siku moja tu unakua na nafuu kabisa ila dozi yake inataka utumie mwezi mmoja hadi mwezi mmoja na nusu mfululizo bila ya kuacha.
Hata ukiona umepoa endelea kutumia kwani Hii ni itakusaidia hata kwa maradhi mengine na kuepuka mafua kuja mara kwa mara
Sunday, October 27, 2019
TIBA YA KUFUNGA/KUFUNGUA HEDHI
Kwa mwanamke ambaye anapata tatizo katika siku zake ama kuzidi siku au kutopata siku atumie tiba mojawapo Kati ya zifuatazo in Shaa Allah atakaa vema.
DAWA YA KWANZA
MDALASINI; Kama ni unga, weka kijiko kimoja kwenye uji/chai/maji moto kutwa mara mbili kwa siku Saba
DAWA YAPILI
MVUJE &PILIPILI MTAMA; Chemsha vyote kwa pamoja kisha uwe unakunnywa kikombe cha kahawa kutwa mara mbili kwa siku saba
DAWA YA TATU
KITUNGUU MAJI; Tengeneza juisi yake kisha kunywa kikombe kimoja cha kikombe cha kahawa kutwa mara mbili kwa muda wa siku TATU.
DAWA YA NNE
ZAATAR; Chukua vijiko vitano vya dawa hii kisha chemsha kwenye maji ya lita mbili kiasi cha kupungua nusu lita na kubaki lita moja na nusu, kunywa kikombe cha kahawa kutwa mara mbili kwa siku tano
Kwa MAELEZO zaidi wasiliana na mwl. NAHONYO F.M
SIMU; 0712829903/0784950236
EMAIL; fnahonyo@gmail.com
BLOG; www.nahonyo.blogspot.com
Thursday, January 10, 2019
TIBA RAHISI KWA HEDHI ISIYOKOMA
Pata mizizi ya kutosha ya mbaazi kisha katakata ndimu vipande vipande bila kumenya, changanya na mizizi hiyo ya m'baazi na tia maji kiasi, chemsha kama chai kisha ipua. Kunywa kikombe kimoja cha chai asubuhi na jioni kila siku kwa siku saba inshaallah hedhi itakoma na etaenda kama kawaida.
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NAMI MWL. NAHONYO
SIMU; 0712829903/0784950236/0762194681
EMAIL; fnahonyo@gmail.com AU TEMBELEA
Pata mizizi ya kutosha ya mbaazi kisha katakata ndimu vipande vipande bila kumenya, changanya na mizizi hiyo ya m'baazi na tia maji kiasi, chemsha kama chai kisha ipua. Kunywa kikombe kimoja cha chai asubuhi na jioni kila siku kwa siku saba inshaallah hedhi itakoma na etaenda kama kawaida.
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NAMI MWL. NAHONYO
SIMU; 0712829903/0784950236/0762194681
EMAIL; fnahonyo@gmail.com AU TEMBELEA
Thursday, November 22, 2018
NUFAIKA NA TIBA ZETU
Jifunze jinsi ya kujitibu maradhi ya magonjwa mbalimbali kwa kutumia miti na Qur-an tukufu kupitia application ya Tiba
Download Tiba App kupata mafunzo
Bonyeza hapa https://play.google.com/store/apps/details?id=com.kimenya.treatments
usisahau kutuma kwa watu wengine ili nao wanufaike
Download Tiba App kupata mafunzo
Bonyeza hapa https://play.google.com/store/apps/details?id=com.kimenya.treatments
usisahau kutuma kwa watu wengine ili nao wanufaike
Monday, August 22, 2016
TAFAKARI YANGU
Amani ndio msingi wa Maendeleo. Amani ikitoweka kuirudisha ni vigumu kabisa, Kama amani ikitoweka hakuna kinachowezakufanyika katika nyanja zote za maisha, hakuna kulima, kusoma, kucheza, siasa, kusafiri, utamaduni wala ibada. Ombi langu Watanzania wenzangu nikuwa tutunze amani tuliyonayo zaidi ya mboni ya jicho letu. Kila mmoja kwa nafasi yake afanye afanyalo kwa kufuata katiba ya nchi huku akijua ameshikiria yai la amani.
TAFAKARI YANGU
Amani ndio msingi wa Maendeleo. Amani ikitoweka kuurudisha ni vigumu kabisa, Kama amani ikitoweka hakuna kinachowezakufanyika katika nyanja zote za maisha, hakuna kulima, kusoma, kucheza, siasa, kusafiri, utamaduni wala ibada. Ombi langu Watanzania wenzangu nikuwa tutunze amani tuliyonayo zaidi ya mboni ya jicho letu. Kila mmoja kwa nafasi yake afanye afanyalo kwa kufuata katiba ya nchi huku akijua ameshikiria yai la amani.
Subscribe to:
Posts (Atom)