Sunday, July 31, 2011
Wednesday, July 20, 2011
FAIDA YA MAJI YA ZAMDA
Maji haya yanafaida kubwa kwa KUTIBU aina zote za maumivu ya tumbo.
MATUMIZI
kunywa maji ya zamda kikombe kimoja cha kahawa kutwa mara tatu kwa muda wa siku saba hadi ishirini na moja.INSHAALLAH UTAPONA.
MATUMIZI
kunywa maji ya zamda kikombe kimoja cha kahawa kutwa mara tatu kwa muda wa siku saba hadi ishirini na moja.INSHAALLAH UTAPONA.
TIBA YA JINO
Mwenye kuhisi maumivu ya jino apate asali vijiko 5 na mdalasini kijiko kimoja. Mchanganyiko huu utakuwa unapaka kwa nje usawa wa jino linalouma kutwa mara tatu.INSHAALLAH UTAPONA.
TIBA YA MAFUA
(1)Maji ya moto kikombe kimoja cha chai
(2)Asali kijiko kimoja cha chakula
(3)Unga wa mdalasini kijiko kimoja cha chakula
MATUMIZI
Changanya pamoja halafu uwe unakunywa kutwa mara tatu. kila unapotaka kunywa utakuwa unachanganya wakati huohuo. Tumia dozi hii kwa muda wa siku saba hadi siku kumi na moja.Tiba hii hutibu hata mafua mazito(chronic) na yenye kuziba pua.INSHAALLAH UTAPONA
(2)Asali kijiko kimoja cha chakula
(3)Unga wa mdalasini kijiko kimoja cha chakula
MATUMIZI
Changanya pamoja halafu uwe unakunywa kutwa mara tatu. kila unapotaka kunywa utakuwa unachanganya wakati huohuo. Tumia dozi hii kwa muda wa siku saba hadi siku kumi na moja.Tiba hii hutibu hata mafua mazito(chronic) na yenye kuziba pua.INSHAALLAH UTAPONA
Saturday, July 16, 2011
TIBA YA KIFUA NA PUMU
Kama unatatizo la kifua au pumu unaweza kujitibu kwa kutumia dawa zifuatazo:-
(1) Vijiko vitano vya unga wa rifaj
(2) Vijiko vitano vya unga wa karafuu
(3) Vijiko vitano vya unga wa mjafar
(4) Vijiko vitano vya unga wa tangawizi
(5) Vijiko vitano vya unga wa alqusus na
(6) Asali mbichi na safi lita moja
NAMNA YA KUANDAA
Changanya vyote kwa pamoja halafu ukoroge kwa muda mrefu mpaka uhakikishe imechanganyika vizuri.
MATUMIZI
Kula kijiko kimoja cha chakula asubuhi, mchana na jioni kwa muda wa siku kumi na moja hadi siku ishirini na moja. INSHAALLAH UTAPONA
(1) Vijiko vitano vya unga wa rifaj
(2) Vijiko vitano vya unga wa karafuu
(3) Vijiko vitano vya unga wa mjafar
(4) Vijiko vitano vya unga wa tangawizi
(5) Vijiko vitano vya unga wa alqusus na
(6) Asali mbichi na safi lita moja
NAMNA YA KUANDAA
Changanya vyote kwa pamoja halafu ukoroge kwa muda mrefu mpaka uhakikishe imechanganyika vizuri.
MATUMIZI
Kula kijiko kimoja cha chakula asubuhi, mchana na jioni kwa muda wa siku kumi na moja hadi siku ishirini na moja. INSHAALLAH UTAPONA
DAWA YA SAHANYOZA
Hii ni dawa ya kupaka ambayo kwa uwezo wake Allah (S.W) INAUWEZO WA KUTIBU MARADHI MBALIMBALI KAMA VILE:-
(1) Maumivu ya kichwa
(2) Maumivu ya mgongo
(3) Maumivu ya kiuno
(4) Maumivu ya mikono
(5) Maumivu ya miguu
(6) maumivu ya viungo
(7) Vidonda vya koo
(8) Kung'atwa na mdudu na
(9) Fangasi za nje ya mwili
DAWA HII NI MCHANGANYIKO WA DAWA MBALIMBALI KAMA VILE; HALIMIT, ELKZAMDA, HABAT SAUDA, ZAITUN. N.K.
MATUMIZI; PAKA SEHEMU YENYE MAUMIVU MARAMBILI KWA SIKU yaani ASUBUHI NA JIONI.
(1) Maumivu ya kichwa
(2) Maumivu ya mgongo
(3) Maumivu ya kiuno
(4) Maumivu ya mikono
(5) Maumivu ya miguu
(6) maumivu ya viungo
(7) Vidonda vya koo
(8) Kung'atwa na mdudu na
(9) Fangasi za nje ya mwili
DAWA HII NI MCHANGANYIKO WA DAWA MBALIMBALI KAMA VILE; HALIMIT, ELKZAMDA, HABAT SAUDA, ZAITUN. N.K.
MATUMIZI; PAKA SEHEMU YENYE MAUMIVU MARAMBILI KWA SIKU yaani ASUBUHI NA JIONI.
Saturday, July 2, 2011
FAIDIKA NA MAFUTA YA ZAITUNI.
BISMILLAH ARRAHMAN ARRAHIIM
NUFAIKA NA MAFUTA YA ZAITUNI
Anasema Allah (S.W) KUHUSU MAFUTA YA ZAITUNI:
“…….TUNGI LILE NI KAMA NYOTA INAYOMEREMETA, INAYOWASHWA KWA MAFUTA YANAYOTOKA KATIKA MTI ULIOBARIKIWA WA MZAITUNI. SI WA MASHARIKI WALA MAGHARIBI. YANAKARIBIA MAFUTA YAKE KUNG’AA YENYEWE INGAWA MOTO HAUJAYAGUSA-NURU JUU YA NURU……”(QUR’AN 24:35)
Mafuta ya zaituni yana manufaa mengi katika mwili na maisha ya binadamu kwa ujumla kama ifuatavyo;
(1)Mafuta ya zaituni hutibu maumivu ya tumbo kwa kunywa kijiko 1 mara 2 kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 11 inshaallah.
(2)Mafuta ya zaituni hutibu masheitani kwa kusomea kisomo cha Ruqia, mgonjwa atajipaka mwili mzima mara moja kwa siku pamoja na kutafuna vitunguu saumu punje tatu wakati wa kulala kwa muda wa siku arobaini inshaallah.
(3)Mafuta ya zaituni ni kinga ya masheitani wa kijini na wa kibinadamu kwa kujipaka mwili mzima mara moja kwa siku.
(4)Mafuta ya zaituni hutibu ugonjwa wa mafua kwa kupaka kwenye mwamba wa pua na ndani ya matundu ya pua mara tatu kwa siku.
(5)Tiba ya vidonda vya tumbo; Matumizi ni kutia vijiko 2 vya chakula katika uji mara mbili kwa siku kwa muda wa siku 90.
(6) Mafuta ya zaituni hutumika kama huduma ya kwanza kwa aliyekunywa sumu kwa kunywa, na kwa mwenye ganzi au kiharusi hutumia kwa kuchua asubuhi na jioni.
(7) Mafuta ya zaituni hutumika katika kuua wadudu wabaya walioko tumboni kwanjia ya kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku kwa muda wa siku saba.
(8) Mafuta ya zaituni huongeza nguvu za kiume kwa kunywa kijiko kimoja kwa siku pamoja na kuuchua uume mafuta yaliyochanganywa na vitunguu swaumu kwa muda wa siku saba hadi kumi na moja.
(9) Tiba ya ugonjwa wa kusahau: paka katika paji la uso kutwa marambili pamojana kunywa kijiko kimoja cha chai mara moja kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 11.
(10) Tiba ya degedege: hutumika kupakaa mwili mzima mafuta yaliosomewa ruqya, marambili kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.
(11)Kukojoa kitandani: kupakaa mafuta ya zaitun mwili mzima kutwa marambili huku akilamba matone mawili kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.
Kwa maelezo, ushauri na msada wasiliana na: Mwalimu NAHONYO,
Muslim university of Morogoro
P.O.BOX 1031
fakihimshamu@yahoo.com, Nahonyo.blogspot.com. 0712829903 or 0784950236
Subscribe to:
Posts (Atom)