Thursday, June 23, 2011

Zijuwe dalili za jini mahaba

Jini mahaba ni jini mithili ya majini wengine. lakini jini huyu huwa ana dalili mbali mbali kama zifuatavyo:-
1. kuwa na wivu kupindukia
2.kupata maumivu ya kichwa cha upande
3.kutopenda kuowa au kuolewa
4.chuki ndani ya ndoa
5.kuwa na nyuzuru katika tendo la ndoa
6.kuota ndoto nyevu za mapenzi.

kwa maelezo zaidi jipatie kitabu kinacho itwa " TIBA MUJAARABU" na RUQYA ya SHERIA dhidi ya uchawi, kijicho na husda.