Wednesday, August 31, 2011
TUZINGATIE MAFUNZO YA MWEZI WA RAMADHANI Ndugu zangu wote mnaofuatilia blog yangu, natambua kuwa kuna waislamu na wasio waislamu lakini pamoja na utofauti wetu wa imani bado mafunzo ya Ramadhan yanatugusa wote. Ukarimu, upendo, umoja na mshikamano, kuhurumiana, kusaidiana, kuvumiliana, kuheshimiana pamoja na kufanya matendo mengine ya kiuchamungu ni baadhi ya mafunzo ya mwezi wa Ramadhan. Mwenyezi Mungu yupo wakati wote, halali wala hasinzii, haendi likizo wala hasafiri kwanini tusiendeleze mafunzo ya mwezi mtukufu? Hakuna mwenye uhakika lini ataondoka hapa duniani, unaweza kumuasi mola wako leo, kesho kabla hujatubia ukaondoka duniani, je! Utakuwa mgeni wa nani?aofuatilia blog yangu, natambua kuwa kuna waislamu na wasio waislamu lakini pamoja na utofauti wetu wa imani bado mafunzo ya Ramadhan yanatugusa wote. Ukarimu, upendo, umoja na mshikamano, kuhurumiana, kusaidiana, kuvumiliana, kuheshimiana pamoja na kufanya matendo mengine ya kiuchamungu ni baadhi ya mafunzo ya mwezi wa Ramadhan. Mwenyezi Mungu yupo wakati wote, halali wala hasinzii, haendi likizo wala hasafiri kwanini tusiendeleze mafunzo ya mwezi mtukufu? Hakuna mwenye uhakika lini ataondoka hapa duniani, unaweza kumuasi mola wako leo, kesho kabla hujatubia ukaondoka duniani, je! Utakuwa mgeni wa nani?
Sunday, July 31, 2011
Wednesday, July 20, 2011
FAIDA YA MAJI YA ZAMDA
Maji haya yanafaida kubwa kwa KUTIBU aina zote za maumivu ya tumbo.
MATUMIZI
kunywa maji ya zamda kikombe kimoja cha kahawa kutwa mara tatu kwa muda wa siku saba hadi ishirini na moja.INSHAALLAH UTAPONA.
MATUMIZI
kunywa maji ya zamda kikombe kimoja cha kahawa kutwa mara tatu kwa muda wa siku saba hadi ishirini na moja.INSHAALLAH UTAPONA.
TIBA YA JINO
Mwenye kuhisi maumivu ya jino apate asali vijiko 5 na mdalasini kijiko kimoja. Mchanganyiko huu utakuwa unapaka kwa nje usawa wa jino linalouma kutwa mara tatu.INSHAALLAH UTAPONA.
TIBA YA MAFUA
(1)Maji ya moto kikombe kimoja cha chai
(2)Asali kijiko kimoja cha chakula
(3)Unga wa mdalasini kijiko kimoja cha chakula
MATUMIZI
Changanya pamoja halafu uwe unakunywa kutwa mara tatu. kila unapotaka kunywa utakuwa unachanganya wakati huohuo. Tumia dozi hii kwa muda wa siku saba hadi siku kumi na moja.Tiba hii hutibu hata mafua mazito(chronic) na yenye kuziba pua.INSHAALLAH UTAPONA
(2)Asali kijiko kimoja cha chakula
(3)Unga wa mdalasini kijiko kimoja cha chakula
MATUMIZI
Changanya pamoja halafu uwe unakunywa kutwa mara tatu. kila unapotaka kunywa utakuwa unachanganya wakati huohuo. Tumia dozi hii kwa muda wa siku saba hadi siku kumi na moja.Tiba hii hutibu hata mafua mazito(chronic) na yenye kuziba pua.INSHAALLAH UTAPONA
Subscribe to:
Posts (Atom)