Miski ni mama wa mafuta yote mazuri duniani. Kutokana na ubora au umuhimu wake katika tiba na manukato watu wengi wamekuwa wakichakachua na kuzalisha miski feki.
UNAWEZAJE KUTAMBUA MISKI FEKI NA HALISI?
Unaweza kutambua kwa kunusa, kupima uzito na ladha. Kwa upande wa ladha, miski halisi inakuwa na ladha ya uchungu isiyochanganyika na sukari, na kama utaonja basi utapata msisimuko fulani. Pia kama utayasomea Ruqia na kumpakaa mgonjwa wa masheitani athari zake huonekana maramoja.
MATUMIZI YA MAFUTA YA MISIKI KAMA TIBA
UNAWEZAJE KUTAMBUA MISKI FEKI NA HALISI?
Unaweza kutambua kwa kunusa, kupima uzito na ladha. Kwa upande wa ladha, miski halisi inakuwa na ladha ya uchungu isiyochanganyika na sukari, na kama utaonja basi utapata msisimuko fulani. Pia kama utayasomea Ruqia na kumpakaa mgonjwa wa masheitani athari zake huonekana maramoja.
MATUMIZI YA MAFUTA YA MISIKI KAMA TIBA
1. Ni kinga na tiba ya masheitani wa kijini na kibinadamu. MATUMIZI; Changanya mafuta ya miski na ya zaituni halafu uwe unajipakaa mwilimzima asubuhi na jioni. ukkosa mafuta ya zaituni unaweza kutumia mafuta ya miski pekeyake.
2.Kusafisha na kufungua milango ya fahamu-MATUMIZI; Nusa marakwamara.
3.Kuongeza hamu ya chakula cha usiku kwa wanandoa. MATUMIZI; weka maji katika glasi halafu dondoshea matone matatu ya miski, halafu unywe na kujipaka sehemu nyeti dakika tano kabla ya kwenda chakulani. hii ni kwa wanaume na wanawake.
4. Kusafisha sehemu nyeti. MATUMIZI; Wanawake baada ya kumaliza siku zao wanaweza kutumia mafuta haya kwa kuondoa harufu, lakini pia kwa kuongeza ashiki (hamu). ONYO: Usitumiye bila kuchanganya na maji na usitumiye kama hauko katika ndoa nakama uko mbalimbali na mume wako.
5. Tiba ya uke ulio legea. MATUMIZI; Changanya na maji halafu uwe unanawa kwa ajili ya kukaza uke, kupunguza maji na kufanya sehemu hiyo kuwa ndogo.
6. Kipimo cha maradhi ya kijini. MATUMIZI; Pakaa matundu thelathini na mbili wakati wa usiku ambayo ni ncha za vidole, chuchu, macho, masikio, pua, mbeleni na nyumani. ukipakaa kama unasumbuliwa na jini basi utaummwa na kichwa au kupata mawengemawenge.
7.Tiba ya fangasi. MATUMIZI; Pakaa sehemu yenye fangasi marambli kwa siku, kwa muda wa siku saba Inshaallah utapona
No comments:
Post a Comment