Saturday, July 16, 2011

TIBA YA KIFUA NA PUMU

Kama  unatatizo  la  kifua  au  pumu  unaweza  kujitibu  kwa  kutumia  dawa  zifuatazo:-

(1) Vijiko vitano  vya unga  wa rifaj
(2) Vijiko  vitano  vya  unga  wa  karafuu
(3) Vijiko  vitano  vya  unga  wa  mjafar
(4) Vijiko  vitano  vya  unga  wa  tangawizi
(5) Vijiko  vitano  vya  unga  wa  alqusus na
(6) Asali mbichi na safi lita  moja

                              NAMNA  YA  KUANDAA
Changanya  vyote  kwa  pamoja  halafu  ukoroge  kwa  muda  mrefu  mpaka  uhakikishe   imechanganyika  vizuri.

                              MATUMIZI
Kula  kijiko kimoja  cha  chakula asubuhi,  mchana  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  kumi  na  moja  hadi  siku  ishirini  na  moja.  INSHAALLAH  UTAPONA

No comments:

Post a Comment