Kama unatatizo la kifua au pumu unaweza kujitibu kwa kutumia dawa zifuatazo:-
(1) Vijiko vitano vya unga wa rifaj
(2) Vijiko vitano vya unga wa karafuu
(3) Vijiko vitano vya unga wa mjafar
(4) Vijiko vitano vya unga wa tangawizi
(5) Vijiko vitano vya unga wa alqusus na
(6) Asali mbichi na safi lita moja
NAMNA YA KUANDAA
Changanya vyote kwa pamoja halafu ukoroge kwa muda mrefu mpaka uhakikishe imechanganyika vizuri.
MATUMIZI
Kula kijiko kimoja cha chakula asubuhi, mchana na jioni kwa muda wa siku kumi na moja hadi siku ishirini na moja. INSHAALLAH UTAPONA
No comments:
Post a Comment