Wednesday, July 20, 2011

TIBA YA MAFUA

(1)Maji ya moto kikombe kimoja cha chai
(2)Asali kijiko kimoja cha chakula
(3)Unga wa mdalasini kijiko kimoja cha chakula

        MATUMIZI
Changanya pamoja halafu uwe unakunywa kutwa mara tatu. kila unapotaka kunywa utakuwa unachanganya wakati huohuo. Tumia dozi hii kwa muda wa siku saba hadi siku kumi na moja.Tiba hii hutibu hata mafua mazito(chronic) na yenye kuziba pua.INSHAALLAH UTAPONA

No comments:

Post a Comment